iqna

IQNA

TEHRAN (IQNA) –Utawala wa kiimla wa Bahrain umemtia mbaroni mwanazuoni mwingine wa Kiislamu huku ukandamizaji mkubwa wa wapinzani ukiendelea katika nchi hiyo ndogo ya Ghuba ya Uajemi.
Habari ID: 3470958    Tarehe ya kuchapishwa : 2017/04/29